OLE SABAYA AKANA MASHTAKA MAWILI ALIYOSOMEWA
Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili wamesomewa mashtaka mawili yanayowakabili kati ya mashtaka sita waliyonayo pamoja na wenzao watatu. Imeelezwa leo Ijumaa Juni 18, 2021 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kuwa mashtaka mengine manne upelelezi wake bado haujakamilika. Wakili mkuu wa Serikali, Tumaini Kweka amemweleza hakimu mfawidhi wa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed